Pages

Tuesday, May 18, 2010

1 week + song lyrics

My flight is in a week. I've got a lot to take care of before then. Also, I'm sure you'll be excited to know that in base 14, this is my 100th post!

Anyway, just for fun I decided to put some of my favorite song lyrics into kiswahili. I put the literal translations at the bottom.

1. Huwezi kupata daima unachotaka, lakini ukijaribu pengine, labda utaona, wapata unachohitaji

2. Jenny nina namba yako. Jenny uwe wangu. Jenny usibadilishe namba yako, nane-sita-saba-tano-tatu-sifuri-tisa.

3. Ukitaka kuharibu sweta yangu, vuta waya huu ninapotembea kwingine.

4. Nyumba yetu, katikati ya barabara. Nyumba yetu, katikati ya barabara

5. Bang, bang Maxwell nyundo ya fedha akaja chini kupiga kichwa cha kike

6. Alikuwa msichana ya mji mdogo tu, kuishi katika dunia upeke, akasafiri na gari la moshi la saa sita usiku kwenda po pote.

7. Billie Jean siye mpenzi wangu, yeye ni msichana asemaye mimi ni yule mtu, lakini mtoto siye wangu.

8. Na rafiki hawawezi kupatikana, kama daraja juu ya maji ya matatizo, nitajipumzisha

9. Kama ungeweza kuona ndimi ninayekufahamu, nimekuwa hapa wakati mzima kwa hivyo kwa nini huoni uwe nami?

10. Nina hisia, usiku huu utakuwa usiku mzuri, usiku huu utakuwa usiku mzuri, usiku huu utakuwa mzurimzuri.

11. Kwa sebabu nguruwe zangu wanapokufa napata zaida ya laki tatu

12. Kule wanakotembea, kule wanakokimbia, kule wanakoishi siku nzima chini ya jua, kutembeatembea wahuru, nataka kuwa sehemu ya ile dunia.

13. Upendo ni nini? Bebi usiniumishe, usiniumishe, usiniumishe tena.

14. Ni kama mvua yanyesha kwa siku ya harusi ama lifti ya bure baada ya umeshalipa ama mshauri mzuri hukusikia

15. Nimepanda kuta hizi za jiji kuwa pamoja nawe tu, lakini bado sijapata ninachotafuta.

16. Nina roho lakini mimi si askari. Nina roho lakini mimi si askari.

17. Lakini tangu umekuwa ulienda, naweza kuvuta pumzi kwa mara ya kwanza.

18. Sijali uliye, ulikotoka, sijali ulivyofanya ukinipenda.

19. Nataka unitake. Nahitaji unihitaji. Napenda unipende. Nakuomba kuniomba.

20. Lolly, Lolly, Lolly pata vielezi hapa; baba, mwana na Lolly wanauza vielezi hapa.

-----

1. You cannot receive always what you want, but if you try sometimes, maybe you will see, you receive what you need

2. Jenny I have your number. Jenny be mine. Jenny don't change your number, eight-six-seven-five-three-zero-nine.

3. If you want to destroy my sweater, pull this thread as I walk to another place.

4. Our house, in the middle of the road. Our house, in the middle of the road.

5. Bang, bang, Maxwell Hammer of Silver came down to hit her head.

6. She was just a girl of a small town, living in a world of loneliness, she traveled with the 12:00 AM train going anyplace.

7. Billie Jean is not my lover, she's just a girl who says that I am that person but the child is not mine.

8. And friends cannot be found, like a bridge over water of troubles, I will lay myself down.

9. If you could see I am the person who understands you, I've been here the whole time so why do you not see you should be with me? [I have nothing to be ashamed of; she's a talented artist and the video won that prize or something]

10. I have a feeling, this night will be a good night, this night will be a good night, this night will be a good good night.

11. Because when my pigs die I receive over three hundred thousand. [This one is actually almost literal out of Yeah by Usher]

12. There where they walk, there where they run, there where they stay the whole day under the sun, wandering free, I want to be part of that world. [Nope, nothing to be ashamed of at all]

13. What is love? Baby don't hurt me, don't hurt me, don't hurt me again.

14. It is like rain on the day of the wedding or the free ride after you have already paid or the good advice you didn't hear.

15. I have climbed these walls of the city only to be with you, but I still have not gotten what I am looking for.

16. I have a soul, but I am not a soldier. I have a soul, but I am not a soldier.

17. But since you have been gone, I can breathe for the first time. [Okay, maybe I should be a little ashamed]

18. I don't care who you are, where you come from, what you did, if you love me [Or maybe more than a little ashamed...]

19. I want that you want me. I need that you need me. I love that you love me. I request that you request me.

20. Lolly, Lolly, Lolly get your adverbs here; father, son and Lolly are selling adverbs here. [I had to end with a classic song]

2 comments:

Amanda said...

lawlz. you're hilarious.

Thuy said...

hahahah! Love it.